Thursday, February 27, 2014

NEUTRAL UKUTANI NA COLORFUL KWENYE FANICHA NA MAPAMBO.......


Kuna njia moja rahisi sana kwa wale wapendao colorfull kwenye nyumba zao....iko hivi...unapopaka rangi ukutani ambayo ni colorfull halafu ukaja ku mix and match na fanicha na mapambo.....hua inakuja kukuchosha baada ya muda.....na mara nyingi ni kua tunapaka rangi zisizoendana.....

nimeshaona kwenye baadhi ya nyumba zetu utakuta mtu anaweka rangi zaidi ya tano.....na hii huja kumahinda...na kufanya nyumba kuonekana kituko.....jamani kutumia rangi zairi ya tatu.......pls pls......pata ushauri kutoka kwa interior designer.....atakushauri kwa gharamma nafuu ni kukubaliana tuu na nyumba kuonekana nzuri na kuvutia.....hiyo ndio kazi yetu kuumiza vichwa kila siku ili kupendezesha nyumba yako.

nimeweka baadhi ya picha hapa ili muone rangi zinavyokwenda kwa mpangilio....hata kama ni nyingi lakini zinashabihiana...sio moja inamzidi mwingine na kuwaka sana ......


Napenda kutoa picha ili tuweze kuelewana zaidi.....na ukitumia rangi za kuwaka ni lazima utumie na rangi zilizopoa ili kuipunguza makali ile kali.....na kwa ushauri wangu endapo gutaki kutumia designer kwa kudhani kua unakwepa gharama...ama utamfaidisha interior designer. .....basi naomba na ninakupigia magoti.... kua heza na rangi 3 tuuuuuu...na tena ziwe zinaendana sio kupishana....hii itakusaidia nyumba yako kuto onekana kituko na kuchekesha walionuna....sasa basi....paka ukuta wako rangi neutral. ..kama cream, beige, butterscotch,  etc....halafu hizo rangi 2 zilizobaki ndio cheza nazo kwenye fanicha na pazia na marembo.....na pia waweza irudia ile ya ukuta kwenye mapambo pia sio mbaya....
picha hizi 2....kuta ni neutral...then colors kaweka kwenye fanicha na mapambo....kiasi kwamba unaweza badilisha muda wowote wakati wowote mapambo na pazia...bila kuugusa ukuta ama kukuumiza kichwa kuubadilisha rangi.....


mfano picha hii ametumia rangi 3....kijani, pink, na nyeupe....na nyumba imependeza.......sasa ule ujuaji wa ma color combo tuuache kwenye nyumba zetu.....na kwa taarifa tuu color combo hua zinapendeza zaidi kwenye nyumba kubwa na zenye mwanga wa kutosha....ambapo kuna madirisha makubwa.....

Wednesday, February 19, 2014

COLOR IDEAS FOR YOUR LIVING ROOM. .....


Inategemea na wewe mwenye nyumba unapenda color gani....kwa mimi mara nyingi humuuliza mteja maswali ambayo hunisaidia kuweza kujua mteja anapenda rangi gani...ama vitu gani...maana wengi wetu wanadhani kua ukumuita interior designer ndio tayari anafanya kila kitu bila kukushirikisha....hapana hua hatuendi hivyo......

Nashauri unapomuita desiger wako kwa ajili ya nyumba yako ama ofisi...jitahidi kutoa detailss zote za nini unapenda...nini hupendi..unataka kuweje ukiingia nyumbani kwako ama ofsini...yote haya yatamsaidia designer kukufanyia kazi yako....

Tu nachokosea ni kutokua wawazi ama kuogopa kuonekana hujui...jamani hakuna mtu kazaliwa anajua....ni kua elimu tumejifunza katika secta mbali mbali.....

Homez deco hua tuna discuss...na kuulizana maswali na kuongea ili kujua nini unataka...kumbuka nyumba hiyo unakaa wewe sasa inabidi ikuwakilishe wewe mwenye nyumba na kukupendezesha...



Design ziko nyingi....kuna traditional, contemporary,  etc......sasa unavyomuelezea interior designer. ..ye anajua ni design ipi aende nayo.....na ufurahie nyumba yako. Nitaelezea kila design inakuaje....ili iwe rahisi kwenu wateja kumuelezea designer..




CURTAIN DESIGNS... ...........









Monday, February 17, 2014

MITO YA MAKOCHI........

 Napenda kumshukuru mteja wangu huyu wa tabata....kwa kutuletea kazi yake....nasisi kama homez deco tumeifanya kwa uangalifu mkubwa na umakini........unaweza kusema ni kazi ndogo....ni kweli kazi sio kubwa sana.....ingawa watu hudharau pale unapompa bei ya kazi yake jamani kila siku nasema kizuri ni rahisi....na kibaya ni gharama.......

 Ukiangalia mito hii iko saba...na tumeitengeneza sisi mito ya ndani na kushona forinya zake......ukiangalia foronya kila moja inafanana na mwenzie hakuna hata moja inayopishana pattern. ......nikiwa na maana hiyo mistari....na finnishing yake ni nzuri....
Sio kua homez deco tunajisifia haoana.....kazi zetu ndio sifa yetu.....na kazi zetu zote za kushona hua tunaweka lebo zetu ......nitawaonyesha lebo zetu.......na hii hutusaidia kututangazaa.....

Endelea kua nasi uone mito hii imeenda kukaa wapi....

METAL FURNITURES...AVAILABLE AT HOMEZ DECO BY ORDER......

 Meza na stools zake 2 bei ni tshs. 300, 000.
 meza peke yake ni tshs. 200, 000.

 kitanda 5 by 6 kikiwa na 4posters...chuma za net bei ni tshs. 550, 000.
 Kitanda bila 4posters...5 by 6 bei ni tshs. 500, 000.
 wine racks ya juu ni 110, 000. Naya chini ni 150, 000.

BEFORE AND AFTER LIVINGROOM ...........

 Homez deco tulipata kazi ya kubadilisha cusions za sofa...pamoja pillow ndogo za sofa kwa mteja wetu huyu.....alipenda silver kwa mito mikubwa na mito midogo iwe ni color combo....

 picha hii hapa juu ni kabla.....
Na picha hii hapa juu ni baada......baada ya kuweka mito tulimuomba aturushie picha......na akaturushia.....tunakushukuru sana mteja wetu kwa ushirikiano wako......

Tuesday, February 11, 2014

TOPIC INAYOFUATA.....NI KUHUSU VYOO NA MABAFU YETU...



Topic hii ninamalizia kuiandaa.....na kuiweka kiufasaha...na iweze kueleweka....maana katika nyumba zetu kumekua na makosa flan flan ambayo yangeweza kuepukika.....ama kuzuilika....





INAPATIKANA HOMEZ DECO...BY ORDER....RANGI YOYOTE.....


kiti hiki kinaweza kukaa chumbani kama una chumba kikubwa ama chumba cha kuvalia viatu....ama korido....na hata sittingroom .....

kinapatikana kwa order....price ni 700, 000.....ila bri inategemea na ukubwa...yaweza kushuka ama kupanda...

Karibuni..

Wednesday, February 5, 2014

NYUMBA ZA GHOROFA....KWENYE NGAZI....


Baadhi yetu tuna nyumba za ghorofa...ambapo kwenye ngazi hua tunaweka dirisha na kufuatiwa na pazia........baadhi ya nyumba hizi zimekua zikipendeza naa baadhi zimekua hazipendezi kutokana na  aina ya nyumba ama ukubwa wa sehemu....


Na kusema ukweli sio kila mahali lazima kuweka pazia....kuna mbinu nyingi ambapo interior designer akihusishwa atakupa mawazo tofauti tofauti...na nyumba ikaonekana ya kisasa zaidi na inayoendana na wakati.....

Sehemu hii ya ngazi. Unaweza kuweka..picha za group, ama shelf ya kuweka urembo na vitabu kiasi ama maua.....etc...na patapendeza mnooo...


QUOTE OF THE DAY....



Note:  mnaweza nifuata pia instagram  @homezdeco
            Karibuni.....

METAL SOFA .......LIKIWA TAYARI KWENDA KWA MTEJA...


 Mteja alipenda rangi ya sofa iwe black na silver....na homez deco tukafanya kazi...na hivi ndivyo inavyoonekana baada ya kwisha......


Monday, February 3, 2014

CHOOSING AND PREPARING TO INSTALL A CEILING FAN.


I’ll spare you the details on how to actually install a fan, but will share some tips and helpful hints for what to do before and during the process of installing a ceiling fan.
When you head to the store (or search online) to choose a ceiling fan, you’re going to see lots of options!  Not all fans are made the same. There are different size fans for different sized spaces.  Some fans have lights, others don’t.  Some are decorative, others are very simple.

When choosing a style, keep these tips in mind:

1. Choose the right fan for your space – Depending on the height and size of a room, there are different types of ceiling fans that fit best.  Take a look at this chart to see what will work best for you.


choose the right size for your space – Ceiling fans are available in different sizes depending on the square footage of the space.   eg. master bedroom is about 200 square foot, so I decided on a medium size fan that is 44″.  in the family room I’ll need to use a large fan because it’s about 300 square feet.  Choosing the right fan for the appropriate square footage is important to achieve maximum comfort and air efficiency.


Choose the right downrod for your space – If you have higher ceilings, you may need a longer downrod for your ceiling fan, which are usually sold separately. Take a look at this chart to determine the size downrod needed for your ceiling.

If you have a sloped ceiling, which is the condition for the fan that we will eventually put in our family room, you will want to make sure that you have enough clearance for the fan blades.  Take a look at this diagram.

Need to determine the angle of your ceiling to purchase the correct downrod?  Use this calculation:

Before Installation

Once you’ve selected the best fan for your space, there are a few tips to keep in mind before the installation.
1. Have the right support – If you are replacing a fan or installing a completely new fan, it’s incredibly important to have the right structural support and outlet box. Because of the weight and the constant, rigorous movement of a ceiling fan, the support brace is vital.  To learn more about the proper way to install a support brace,
Read ALL of the instructions – And THEN read them again!  There are alot of steps and even though hanging a ceiling fan isn’t difficult, it’s very involved and there are many parts!

Lay out ALL of the parts  – It’s important to remove all the parts from the box and compare what’s included with the instructions, as well as seeing everything laid out.  


Installing a ceiling fixture can truly change the look of a room .