Thursday, June 27, 2013

SMOOTH OVER SKIMMING PLASTER......ZINAPATIKANA HOMEZ DECO.......



 Hizi ndio smoothover skimming plaster, katika ujazo wa lita 20, ama 35 kg....wateja wetu wameanza kuzitumia nani skimming plaster inatumika nje na ndani.....Tayari imeshachanganywa, 5 in 1 formulation.
1. Ni rahisi kutumia
2. Ni imara
3. Haihitaji prima
4. Rahisi kuipiga msasa
5. Inahimili hali yoyote ya hewa

Inasaidia rangi kua na finnishing nzuri.



 Hayo ndio maelezo ya utumiaji wake....na haina vumbi jingi wakati wa kupiga msasa, maana wamezingatia hali ya mazingira, na afya kwa ujumla.......

Karibuni kwa mahitaji yako ya skimming plaster smoothover...wasiliana nasi kwa namba ya simu 0713 - 920565 ama email: sylvianamoyo@yahoo.com

METAL CURTAIN POLES.......AVAILABLE BY ORDER, AT HOMEZ DECO.............



 Fundi aki drill ukuta ili ku fix curtain poles za chuma.......poles hizi ni imara, hazipindi, maana ni chuma kabisaaa
 Hivi ndivyo inavyoonekana baada ya ku fix curtain poles...hii ndio set nzima


Fundi akifunga curtain holder.....

Karibu utoe order...wasiliana nasi kwa namba ya simu 0713 - 920565.....

Wednesday, June 26, 2013

MORE PILLOWS & PILLOW CASES.....DECORATIVE PILLOWS....AVAILABLE @ HOMEZ DECO.....

Mito na foronya hii unaweza kuweka kwenye sofa lako na likapendeza bila kutumia gharama na likabadilika na kupendeza....
 hapa nimesha zipanga jinsi ya kuweka kwenye sofa lako na likapendeza......





 Na hapa pia unaweza kutumia decorative pillows zikawa nyuma na mbele zikawa hizi ndogo plain......
 Karibuni sana..........


OUT OF STOCK......



Foronya ya design hii imekwisha........

MALI MPYA....IMETENGENEZWA NA HOMEZ DECO.....


Tunapenda kuwafahamisha wadau wetu na wateja wetu wote, kua Homez Deco sasa tunatengeneza bidhaa zetu wenyewe, na zina lebo zetu wenyewe.

 Hizi ni glove na pot holder.....ni za jikoni, ukiwa unataka kuepulia sufuria, ama chochote jikoni basi unavaa hii glove moja ama mbili, na utakapoweka mezani, unaweka kwanza hiyo pot holder ili meza isiharibike....

 Products hizi ni kwa seti moja ni tshs. 7,000/- ikiwa ni glove moja na pot holder moja.
 Kwa mbele zinavyoonekana
na kwa nyuma zinavyoonekana.....


NB:
Kwa wale wa mikoani, ukihitaji tutawatumia, ingawa utahitajika kutuma na hela ya usafiri pia,,,wasiliana nasi kwa maelezo zaidi......0713 - 920565

UJIO WA MRS. JOSSYANNE TANZANIA......KUANZIA KATIKATI YA MWEZI WA SABA 2013.....





Homez Deco inapenda kuwafahamisha wadau wote kua Mrs. Jossayanne atakuja Tanzania akitokea Marekani anakoishi na kufanyia kazi zake za Landscaping na Gardening.

Atakuja huku kwa muda wa mwezi mmoja, na akiwa hapa atafanya kazi kwa wale watakaomuhitaji, kama ni ushauri, kufanyiwa kazi etc....

Tunaomba kutangaza rasmi kua tafanya kazi kwa appointment tuu.....Tunaomba kama utamuhitaji wasiliana nasi kwa namba za simu ama email hizi hapo chini, ili uweke appointment.

Kutakua na site visit ambayo ni shs. 50,000/-  hii ni usafiri, na muda wake......utahitajika kulipia ili tuweze kua na uhakika na appointment yako  ndugu mteja wetu.

Hela haitarudishwa, endapo utachelewa, ama  ku cancel kwa muda mchache.

Kwa atakaye cancel tutakata hela ya usumbufu shs. 25,000/-

Tumeweka mashart maana tuko serious na muda, na yeye yuko kwa muda mchache, sasa hatutaki kupoteza muda......naomba tujitahidi sana kwenda na muda ambao tutakua tumepangiana.....maana kuna muda mwingine unaweza kukubaliana na mtu, then ukifika muda unampigia, anakua hapokei, ama kazima simu kwa muda mrefu kiasi, huyo kwa kweli tutajumuisha kua ame cancel ..........

Wasiliana nasi kwa namba ya simu 0713 - 920565 ama email sylvianamoyo@yahoo.com

Karibuni sana.......

BAADHI YA KAZI ALIZOFANYA MRS. JOSSYANNE ZA GARDENING......

 Hizi ni baadhi ya kazi alizozifanya za gardening huko USA......


 Hapa akiwa kwenye mojawapo ya bustani za pembezoni mwa barabara.


Muonekano unaovutia wa garden........

Tuesday, June 25, 2013

HIVI NI BAADHI YA VIFAA AMBAVYO MRS. JOSSYANNE ANAVYOVITUMIA KWENYE KAZI YAKE NCHINI USA....

Katika LANDSCAPING AND GARDNING ,Kila unachokiona hapo kina kazi  yake hivyo ni baadhi ya vifaa ambayo tunatumia mi na mume wangu , pia vimekuwa  ni msaada mkubwa sana na kuturahisishia kazi zetu , pia kuwamalizia wateja wetu kazi haraka  na kirahisi. 

 Vifaa ni muhimu sana hivyo ni vifaa vyangu ktk kazi zangu, those tools  they are so handy easy to use  we use those tools in many ways like trimming, weed killings we mows the lawans   we spreed   manual ,   we use our tractor to carry mulch    in gardens   you name it.  These    equipments are very important and makes things easy.

  Nawasihii gardners wenzangu jitahidini kununua vifaa ni muhimu sana katika kazi hii kama mnavyoona.





 Hivyo vyote ni vifaa tunavyotumia so tunapokuwambia tutakufanyia kazi yako kwa siku kadhaa   au tunaitaji pesa ya kununulia vitu isiwe subiri mara kuna sababu za  kila aina wakati nyumba yako inathamani kubwa, na hua tunadharau sana garden, na kuona gharama ya garden ila ya nyumba si gharama, mtu unajibana mpaka unajenga. sasa kwanini na kwenye garden usijabane na ukaja kua na garden nzuri inayoendana na nyumba yako uliyojenga? 

Hua tunadharau sana garden, kwa kweli garden ni gharama, na gharama zenyewe ni kuiendeleza........hilo lijulikane wazi kabisaaaa, sasa unahitajika mshauri na mjuzi akuelekeze, ni maua gani yanafaa kwenye nyumba yako, na yanayokubali udongo wako na hali ya hewa....ili usije pata hasara kwa kukauka, ama kunyauka kwa garden yako......

Kwa wenzetu mnapatana kazi   unamuambia charges zako,    mnakubaliana hakuna longo longo nope najuwa nanyinyi  watanzania wenzangu mnaweza kama mengine yanawezekana kwanini nje ya  nyumba  yako maofisini mwenu pasipendeze?
    

 Hata kama unakaa nyumba ya kupanga, kuna maua ya kwenye vyungu, na hua yanauzwa tayari yamepandwa, nunua weka nyumbani kwako,   na siku zote hua ninasema, hapo unapokaa ndio kwako. Sasa mwengine anasema mpaka ajenge nyumba yake ndio awe na vitu vizuri, hapo  hata kiwanja hana, sasa hua najiuliza, kwa nini na gari nzuri usisubiri ukaja kununua wakati ukiwa kwako kwenye nyumba uliyojenga? ama mavazi mazuri, masofa mazuri etc....Maisha ndio haya haya. hapo unapokaa ndio kwako...patengeneze papendeze, kulingana na uwezo wako.....usisubirie mwenye nyumba akufanyie. Fanya mwenyewe vitu ambavyo hata ukihama asilimia kubwa ya vitu utahama navyo.......



Usiwe wa kuangalia gardens kwenye nyumba za wenziyo na kusifia,  ona wivu na wewe na kwako kuvutie na    nakupendeza.


Monday, June 24, 2013

Foronya na mito ya mapambo ya kwenye sofa zinapatikana hapa Homez Deco.........

 Product zetu za homez deco......mito yetu tunatengeneza wenyewe, na tunashona foronya sisi wenyewe.......na pia tunapenda kuwashukuru kwa kutuunga mkono mpaka hapa tulipo sasa, kwani sasa hivi tuna lebo zetu wenyewe......Products zetu sasa zile za kushona zitakua na lebo yetu wenyewe.....kwa kweli ni hatua tumepiga, tukisaidiwa nanyi wadau....Tunawashukuru mno na tunawaomba muendelee kutuunga mkono, kwani Homez Deco tunataka tuendelee kuwaletea vitu vizuri zaidi na zaidi na siku hadi siku.......
 Size ya mito ni 45 by 45


 Kila rangi utakayo zinapatikana kwa size tofauti......
 Size hii ya mbele ni 45 by 35....
 Foronya
 Hii ndio mito ya homez deco........tunatengeneza wenyewe, na ina lebo zetu........
Karibuni sana kwa mahitaji ya mito na foronya wasiliana nasi......

The Color Wheel






The color wheel or color circle is the basic tool for combining colors. The first circular color diagram was designed by Sir Isaac Newton in 1666.

The color wheel is designed so that virtually any colors you pick from it will look good together. Over the years, many variations of the basic design have been made, but the most common version is a wheel of 12 colors based on the RYB (or artistic) color model.

Traditionally, there are a number of color combinations that are considered especially pleasing. These are called color harmonies or color chords and they consist of two or more colors with a fixed relation in the color wheel.
ColorImpact is designed to dynamically create a color wheel to match your base color.

Primary, Secondary and Tertiary Colors

In the RYB (or subtractive) color model, the primary colors are red, yellow and blue.

The three secondary colors (green, orange and purple) are created by mixing two primary colors.

Another six tertiary colors are created by mixing primary and secondary colors.

Warm and cool colors




The color circle can be divided into warm and cool colors.
Warm colors are vivid and energetic, and tend to advance in space.
Cool colors give an impression of calm, and create a soothing impression.
White, black and gray are considered to be neutral.

Tints, Shades, and Tones

These terms are often used incorrectly, although they describe fairly simple color concepts. If a color is made lighter by adding white, the result is called a tint. If black is added, the darker version is called a shade. And if gray is added, the result is a different tone.

The basic color chords based on the color wheel.


 Complementary 
Colors that are opposite each other on the color wheel are considered to be complementary colors (example: red and green).
The high contrast of complementary colors creates a vibrant look especially when used at full saturation. This color scheme must be managed well so it is not jarring.
Complementary colors are tricky to use in large doses, but work well when you want something to stand out.
Complementary colors are really bad for text. 


Split-Complementary

The split-complementary color scheme is a variation of the complementary color scheme. In addition to the base color, it uses the two colors adjacent to its complement.
This color scheme has the same strong visual contrast as the complementary color scheme, but has less tension.
The split-complimentary color scheme is often a good choice for beginners, because it is difficult to mess up.



Triad 
A triadic color scheme uses colors that are evenly spaced around the color wheel.

Triadic color harmonies tend to be quite vibrant, even if you use pale or unsaturated versions of your hues.
To use a triadic harmony successfully, the colors should be carefully balanced - let one color dominate and use the two others for accent.






 Analogous 
Analogous color schemes use colors that are next to each other on the color wheel. They usually match well and create serene and comfortable designs.
Analogous color schemes are often found in nature and are harmonious and pleasing to the eye.
Make sure you have enough contrast when choosing an analogous color scheme.
Choose one color to dominate, a second to support. The third color is used (along with black, white or gray) as an accent.


 Square
The square color scheme is similar to the rectangle, but with all four colors spaced evenly around the color circle.
The square color scheme works best if you let one color be dominant.
You should also pay attention to the balance between warm and cool colors in your design.



Rectangle (tetradic)
The rectangle or tetradic color scheme uses four colors arranged into two complementary pairs.
This rich color scheme offers plenty of possibilities for variation.
The tetradic color scheme works best if you let one color be dominant.
You should also pay attention to the balance between warm and cool colors in your design.