Wednesday, October 24, 2012
KITCHEN HOOD
Hiki ni chombo cha umeme kinachofungwa juu ya jiko, na kazi yake ni kunyonya unyevu unyevu, moshi, etc, wakati unapika....
Tumekua tukijenga nyumba zetu nzuri, na majiko yetu mazuri, lakini baada ya muda mfupi kwa upande wa jikoni, unakuta ukuta unachafuka ule upande wa jiko lako lilipo ukutani mpaka kwenye dari, ama wakati unakaanga kama ni samaki, kuku etc... basi moshi unajaa kupita kiasi....
Suluhisho lipo la kuepukana na kuchakaa kwa jiko lako kwa moshi.
Hizi kitchen hood ndio suluhisho lako.... na hapa kwetu Tanzania zinapatikana.... Ila kwa huku Dar ziko hapa Clock tower kama unatokea stesheni duka liko upande wako wa kushoto.... ukiingia pale basi we waulizie kitchen hood na watakuelezea aina walizonazo, maana pia zina aina zake...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




A kitchen hood b is an essential kitchen appliance that helps remove smoke, steam, grease, and cooking odors, keeping your kitchen air fresh and clean. When searching for kitchen hood price in Pakistan, you’ll find a variety of models and brands available at different price ranges to suit different budgets and kitchen sizes. Quality kitchen hoods not only improve ventilation but also add a stylish touch to your cooking space.
ReplyDelete