Saturday, April 21, 2012

Maytag : MFD2562VEB Refrigerator

Clearance Sale # Maytag : MFD2562VEB Refrigerator for sale.




If You Are Looking For Maytag MFD2562VEB To DealPurchase On Best Price And Worth Promotions. Or Looking For Review And Compare Price To Decision Before Get The Best Buy Maytag MFD2562VEB And Making A Purchase. Congratulations To You!! Because This Time Maytag : MFD2562VEB Refrigerator In This Store Is On Sale!! And Discount To Lowest Price And Cheapest But Good Quality 100% Amazon Guaranteed. This Store Is Help You To Save Money Every Way Because This Store Is Amazon Primary Partner Store. Qualified Orders Over 25$ Free Shipping In 2 Days. Good luck For Purchase In This Store.




Maytag MFD2562VEB

Review - Best Buy Maytag : MFD2562VEB Refrigerator On Sale And Discount Price!
































List Price :
$1,765.52
Discount To :
Compare :
Price On :
Apr 21, 2012 03:24:18
N/A






Compare-Check Price Or Purchase Now!! @ Amazon



















Features - Maytag : MFD2562VEB Refrigerator


  • Unique French Door Configuration
  • Electronic Triple-Cool System
  • Glide-Out Freezer Drawer with SmoothClose Drawer Tracks
  • Strongbox Door Hinges
  • Foam-to-the-Floor Construction






For More Information :




Description - Maytag : MFD2562VEB Refrigerator




25 cu. ft. Energy Star French Door Refrigerator with Internal Water Dispenser - MFD2562VE













Specifications - Maytag : MFD2562VEB Refrigerator









Available @ Amazon!! Free shipping in 1-2 days For Save Money




Related Products



 

Thursday, April 19, 2012

Kitchen makeover in a Day....(especially weekend)

Weekend ndio hiyoo tunaianza muda si mrefu, umejipangaje? Kwenda site, shamba, kutembelea ndugu, kupumzika nyumbani, ama kufanya usafi......

Kwa wale watakaokua majumbani, huu ni muda mzuri wa kusafisha na kubadilisha jiko lako kwa siku 1, ni rahisi sana....kumbuka tumekua tukiwaachia wadada wa kazi wafanye kila kitu, weekend hii jitahidi uingie jikoni kwako na msaidiane kufanya huo usafi, na ndio muda wa kujua umebakiwa na glass ngapi, sahani ngapi, vijiko etc..... sio kumgombeza tuu dada mbele za wageni unapomuagiza chombo, then anakuambia kua kimevunjika.......

Hatua ya kwanza, toa vyombo vyote nje, yaani jamani kuna nyumba zingine jamani unaletewa glass inanuka lile vumbi la mende kama vile watu hawaishi kwenye hiyo nyumba lol..... nilishawahi kukutana na hili tatizo siku..... ni aibu.....

Hatua ya pili,

Fanya usafi wa fridge lako, na jiko lako, Futa vumbi kwenye madirisha, toa pazia hilo ufue, makabati yako, na kutoa bui bui ukutani, juu ya dari, makabatini, na kisha fagia na uzoe na kutupa hayo mauchafu, sio ukusanye uweke pembeni, ama hapo mlangoni.

Hatua ya tatu,

Angalia je makabati yako yako salama, hayajachomoka zile handle za milango, bawaba hazijalegea, kama kuna kabati linahitaji huduma ya fundi tafadhali muite na arekebishe, maana huo ndio muda wenyewe, badilisha pia vioovilivyovunjika, kama kunahitaji polish pia mwambie fundi wako apige, akiwahi kupiga asubuhi, mpaka jioni imeshakauka.

Hatua ya nne,

Uwe na sabuni na madawa ya kufanyia usafi, dasta, makosheo etc......

Hatua ya tano,

Anza kufanya usafi wako wa jiko lako, unaanzia juu kuja chini..hakikisha unagusa na kusafisha kila mahali, fridge sogeza, jiko sogeza......fanya usafi wa kila sehemu, usimwage maji chini, maana wengine wanadhani kumwaga maji mengi ndio kufanya usafi, hapana, maana kama una tiles, na maji yako ya sabuni, utapiga mueleka.....Ukuta wako pia ufanyie usafi, kwa kutumia dasta, na usugue taratibu sehemu yenye uchafu, na uwe unazungungusha kama durua wakati wa kusafisha, taratibu, la sivyo utachuna rangi ya ukuta wako.. na makabati usiyamwagie maji, futa na kitambaa chenye maji maji ya dawa ama sabuni kwa mbali.....

Hatua ya sita,

Kausha vizuri, ukuta, makabati yako, ukiridhika, anza usafi kwenye hizo meza ama makabati ya chini,,,, fanya usafi hatua kwa hatua, sio unasafisha kote, halafu unakuja kumalizia, uchafu utaganda kule ulikoanza mwanzo.... maliza usafi wa juu kabisa, halafu uju usafi wa chini, hilo sink lako pia lifanyie usafi wa kina,, kama kuna madasta ya zamani jamani tupa, kosheo la zamani tupa, etc. makabatini,

Hatua ya saba,

Sasa malizia na sakafu yako....na hakikisha hakuna watu wanaopita pita hapo jikoni wakati wewe unafanya usafi........

Hatua ya nane,

Jiko lako si limeng'aa sasa? umeridhika nalo? kama umeridhika nalo, sasa liache lipate hewa...

Hatua ya tisa,

Nenda nje na dada, ama kuna msaidizi mwingine basi mjumuike.....huu ndio muda wa kufanya stock take yako ya vitu vya jikoni, angalia vitu ambavyo huitaji, vilivyovunjika, vilivyochakaa etc, toa weka pembeni, osha vyombo utakavyovihitaji, viache vikauke, kidogo, na ufute na dasta safi, maana hakuna ninachochukia kama unafuta glass then inabaki na nyuzi nyuzi za dasta,, usifute glass ikiwa haijakauka......

Hatua ya kumi na ya mwisho...

Panga vyombo vyako kulingana na rangi, aina ya vyombo, na matumizi ya vyombo.... kwa mtindo huu itakusaidia sana sana kujua vyombo viko wapi ......


Haya umemaliza usafi wako wa jikoni, na furahia jiko lako kua safi, na kujua ya kua nini hauna na unahitaji kununua.

Hauni raha sasa jiko lako kua safi.......na hewa inaingia sasa, na harufu nzuri iliyoko jikoni kwako, na hakuna wadudu hapo?


Nawatakia weekend njema..........


TANGAZO....

Napenda kuchukua nafasi kuwaarifu wadau wote kua, kuanzia Leo tarehe 20/4/2012, Homez Deco-Kreative Homez Haiko tena na Phides Chezi (partner in our business).


Hatuto husika na chochote kama Homez Deco......


Homez Deco -Kreative Homez itaendelea kua na mmiliki 1 halali ambaye ni Sylvia Namoyo......

Mrs. Jossyanne yeye, ni mshauri wetu kwa upande wa Landscaping, gardening, na mazingira kwa ujumla....tuko nae tokea blog inaanza...tunakushukuru Jossyanne kwa kua nasi katika kuelimisha jamii..


Asanteni,

Rgds,

Sylvia Namoyo,

Director

Homez Deco-Kreative Homez


Asanteni