Rangi zinazoshout...ziko nyingi ila leo mimeonelea nitumie kutolea mfano rangi ya orange....
rangi hii ni kali... na ukifanya mchezo.. nayo itafanya pale ulipoitumia kuonekana kituko na hutoipenda....
Napendelea sana sana..kutumia rangi hii kwenye maduka ukutani..kwa mtu anaetaka shouting colors..maana hufanya duka lionekane..
Ila kwa nyumbani.... tumia rangi hii kwa upande wa decorations...na sio ukutani.... kama mifano ya hizi picha hapa.. yaweza kua kwenye pillows...ama pazia.. ama carpet....yaani vitu vidogo vidogo....
kumbuka sofa ni kubwa.. hivyo kua makini.. orange isitawale sana....itakuchosha...
Showing posts with label Colour. Show all posts
Showing posts with label Colour. Show all posts
Monday, December 15, 2014
Sunday, June 29, 2014
RANGI ZA NJE ZA NYUMBA........ZINAPATIKANA KWENYE RANGI ZA DULUX PIA.....
Ukiangalia nyumba hizi....sio tuu kwakua ziko nje ya nchi kwa wenzetu.....lakini pia zinavutia...na zinapendeza....kuanzia juu kwenye bati..mpaka chini...na garden pia...yaani unaanza kukaribishwa na mazingira na nyumba pia kabla ya mwenyeji...
Uzuri wa nyumba hizi....ni mpangilio mzuri wa ujenzi...rangi na garden. ...ila ntaongelea rangi leo....tumekua tukidharau rangi jamani...ama kutokujua....
Hua ninasema kila mara kua....kabla ya kupaka rangi. ..ukuta unatakiwa kutayarishwa vizuri....bila kuruka stages.....nani mwiko kutumia gypsum powder.....iwe ni ndani ama nje....products za skimming ziko.....kuna smooth over ya dulux ama stuko ya sadolin....ni wewe tuu na uwezo wako...
Sijui kama hiliswali hua mnajiuliza wapendwa.....hivi kweli...hua mnawekaga budget ya rangi...kwenye nyumba zenu....ama ikifikia kwenye rangi ndio kukurupuka....na ndio maana nyumba zinalipuliwa.....mtu umejenga nyumba ya mfano ninachukulia....gharama ya nyumba ni 50 million. ..haya ukija kwenye skimming na rangi ndani na nje unataka kutumia laki 8....kweli jamani....si ndio baada ya miezi 3 kama sio 6 rangi inabanduka...ama kupauka...
Unajisikiaje kuangalia nyumba hizi zilivyo na Finnishing nzuri na si zinavutia sana....sasa wenzetu wana invest...kwa muda mrefu..na aiku zote rahisi gharama....nyumba ni yako bado unaifanyia ubahili....nani sasa aje kukufanyia kazi nzuri.....kila ukiambiwa unaangalia bei badala ya kazi na products zitakazotumika kwenye nyumba yako...
Naomba niwaambie kitu wadau.....kua in worldwide. .....Finnishing ya nyumba ni gharama mno.....tena mno.....ila huku watu tunajua kua kujenga ndio gharama na Finnishing ni rahisi...halafu nyumba hiyo hiuo utakuta....furniture zilizowekwa ni za mamilioni.......sasa najiulizaga....hivi kweli hapa...Finnishing hairidhishi....unadhani hizo furniture zitaonekana kweli....na umekwepa nini sasa......
Haiingii akilini unajibahilia kwenye Finnishing ya nyumba yako kweli....hivi unajua kua unatakiwa kuishi vizuri kadri uwesavyo....especially. ..sehemu ya kulala...maana ndio 80%ya maisha yako yanategemea upumzike vizuri.....
Kama ulivyojipanga kwenye ujenzi...na Finnishing jipange hivyo hivyo.....narudia tena...Finnishing ni gharama kuliko ujenzi...na products za dulux ndio zimekuja kumaliza utata huo......
Ukituita homez deco....hatulipui kazi wala kuruka stage...na tunafanya kazi ya uhakika...sasa uamuzi unao wewe....kujenga nyumba nzuri..then umalizie na Finnishing isiyokua na ubora...then uweke furniture za gharama.....
Uzuri wa nyumba hizi....ni mpangilio mzuri wa ujenzi...rangi na garden. ...ila ntaongelea rangi leo....tumekua tukidharau rangi jamani...ama kutokujua....
Hua ninasema kila mara kua....kabla ya kupaka rangi. ..ukuta unatakiwa kutayarishwa vizuri....bila kuruka stages.....nani mwiko kutumia gypsum powder.....iwe ni ndani ama nje....products za skimming ziko.....kuna smooth over ya dulux ama stuko ya sadolin....ni wewe tuu na uwezo wako...
Sijui kama hiliswali hua mnajiuliza wapendwa.....hivi kweli...hua mnawekaga budget ya rangi...kwenye nyumba zenu....ama ikifikia kwenye rangi ndio kukurupuka....na ndio maana nyumba zinalipuliwa.....mtu umejenga nyumba ya mfano ninachukulia....gharama ya nyumba ni 50 million. ..haya ukija kwenye skimming na rangi ndani na nje unataka kutumia laki 8....kweli jamani....si ndio baada ya miezi 3 kama sio 6 rangi inabanduka...ama kupauka...
Unajisikiaje kuangalia nyumba hizi zilivyo na Finnishing nzuri na si zinavutia sana....sasa wenzetu wana invest...kwa muda mrefu..na aiku zote rahisi gharama....nyumba ni yako bado unaifanyia ubahili....nani sasa aje kukufanyia kazi nzuri.....kila ukiambiwa unaangalia bei badala ya kazi na products zitakazotumika kwenye nyumba yako...
Naomba niwaambie kitu wadau.....kua in worldwide. .....Finnishing ya nyumba ni gharama mno.....tena mno.....ila huku watu tunajua kua kujenga ndio gharama na Finnishing ni rahisi...halafu nyumba hiyo hiuo utakuta....furniture zilizowekwa ni za mamilioni.......sasa najiulizaga....hivi kweli hapa...Finnishing hairidhishi....unadhani hizo furniture zitaonekana kweli....na umekwepa nini sasa......
Haiingii akilini unajibahilia kwenye Finnishing ya nyumba yako kweli....hivi unajua kua unatakiwa kuishi vizuri kadri uwesavyo....especially. ..sehemu ya kulala...maana ndio 80%ya maisha yako yanategemea upumzike vizuri.....
Kama ulivyojipanga kwenye ujenzi...na Finnishing jipange hivyo hivyo.....narudia tena...Finnishing ni gharama kuliko ujenzi...na products za dulux ndio zimekuja kumaliza utata huo......
Ukituita homez deco....hatulipui kazi wala kuruka stage...na tunafanya kazi ya uhakika...sasa uamuzi unao wewe....kujenga nyumba nzuri..then umalizie na Finnishing isiyokua na ubora...then uweke furniture za gharama.....
Wednesday, June 18, 2014
BRONCH.........PINI ZA KWENYE NGUO......UREMBO WA NGUO...WAWEZA PATA RANGI YA NYUMBANI KWAKO........
Lakini sasa unaweza kupata rangi za kupaka katika nyumba yako kwa kupitia pini hizi....haswa katika ile pini uipendayo sana....unaweza kuweka rangi hizo sebuleni kwako...chumbani ama korido etc.......na kukavutia mno
Hizi ni baadhi ya pini hizo....na rangi zinazoendana.....na zilizokuwepo katika pini hizi.....ukiwa makini utapata rangi uzipendazo......
Hebu niambie ni group gani umelipenda na ungependa nikusaidie vipi.....katika uchaguzi huo.....na tukakuuzia rangi zetu za Dulux ama Sadolin kwa bei nzuri kama rangi zenyewe...na ushauri pia utapata...ili kuweza kupendezesha nyumba yako.....
Ukiwa na nyumba nzuri...na yakuvutia......utakua na amani ya moyo na furaha muda wote......
Kupanga kuchagua....furnitures zako nzuri za gharama haziwezi kuonekana kama rangi ya nyumba haivutii.......uamuzi unao wewe.....
Tuwasiliane namba 0713 - 920565, ama email: homezdeco@yahoo.com
Tuesday, June 17, 2014
RANGI ZA SADOLIN......ZINAPATIKANA HOMEZ DECO........
Tunapenda kuwajulisha kua sasa utajipatia rangi za Sadolin kwenye ofisi zetu za Homez Deco....
Kampuni ya Sadolin ndio iko pia na rangi za Dulux.......
Tunaendelea kuwarahisishia kwenye upande wa rangi.....kama tunavyojua rangi za Sadolin ni nzuri... na ziko katika ubora unaotakiwa...
kuna Wash n Ware, ama Silk..zote ni aina moja ila tuu majina......kuna Weather guard, Emulsion rangi za maji. etc....
Tuna lita 4 na lita 20
Wasiliana nasi kwa email: homezdeco@yahoo.com au tel: 0713 - 920565.
RANGI ZA DULUX ZIMESHUKA BEI...............TUWASILIANE KWA NAMBA 0713 - 920565 AMA EMAIL: homezdeco@yahoo.com
Tunapenda kuwafahamisha wadau wote kua sasa rangi za dulux zimeshuka bei kwa kiwango kikubwa mno....na hii ni kutokana na kwamba tunapenda wadau wote waweze kupata rangi hizi na kuweza kupendezesha nyumba zao..
Naomba ifahamike kua dulux sio tuu ni rangi za ukuta ni SOLUTION... ya ukuta....kuanzia skimming, kwenye matayarisho ya ukuta.....na pia kuna products nyingi za nyumba nzima kwenye suala zima la finnishing ya nyumba yako ama ofisi...
Dulux kuna rangi za ndani na za nje, kuna vannish kwa ajili ya mbao, kuna skimming plaster ambayo imeshachanganywa kabisa kumrahisishia fundi....kuna za grills...hammirates....etc
Ninachoweza kusema ni kwamba jamani nyumba ni finnishing pia ,...maana tumekuwa tukikazana sana kwenye ujenzi kusimamisha nyumba... ila inapokuja suala zima la finnishing...tumekua ni waoga wa bei......ila nyumba ukiangalia kwa kweli ni ya gharama....sasa ....ila hili ntakuja kulizungumzia siku yake ingine.....
Dulux paints inatumika kokote kule.....majumbani, ofisini, nyumba za kuabudu....etc....
Hii ndio color chart yetu ambayo ina shades...zaidi ya 3200. yaani hapa huwezi kukosa rangi unayoitaka....iwe dark or light.....na pia uzuri wa dulux....hizi rangi ukishatoa order ni kua huwezi kuichakachua....unachokitaka ndio utakachokipata.....sio mara fundi anaongeza rangi nyeupe ama tonner....hapana...na inaokoa muda wa mafundi kuitumia....na ni rahisi kuitumia......ntaleta somo lake kuhusu hili..
hii ni product ya skimming inatumika ndani na nje......na ni rahisi kuitumia maana imeshachanganywa.....jamani gypsum powder ukutani ni sumu ya rangi......
ni kweli dulux uta save hela yako. lita 1 ya dulux inapaka square meter 10 kwa mpako 1 wa kwanza....na inawahi kufunga ukutani......
Product hii ni kwa wale nyumba zinazosumbuliwa na ukungu....unyevu unyevu......kwenye ukuta....mpaka unakuta rangi haikai...ama kudumu.......kuna lita 1 na lita 5
kuna somo linakuja kuhusu hii picha.........
Hii hapa ni rangi ya grills ......kwenye grills....ni lazima upake vyote 3 ila kila unapopaka ni lazima uipe muda ikauke ndio upake,,,,,lakini sasa hii imechanganywa yote 3 na unapaka kwa maramoja.....na wale wanaokaa ukanda wa chumvi chumvi......chuma hulika....itawafaa sana hiii........
Rangi za nje.......zipo pia.......na zina muonekano mzuri...na zinahimili joto, mvua na hali yahewa yoyote ile.....zinapatikana kwa lita 1 na lita 5
Vannish pia ziko......aina tofauti tofauti.. inapatikana kwa lita 5
Silk ama wash n ware....pia zinapatikana.....inapatikana kwa lita 1 na lita 5
Naomba ifahamike kua dulux sio tuu ni rangi za ukuta ni SOLUTION... ya ukuta....kuanzia skimming, kwenye matayarisho ya ukuta.....na pia kuna products nyingi za nyumba nzima kwenye suala zima la finnishing ya nyumba yako ama ofisi...
Dulux kuna rangi za ndani na za nje, kuna vannish kwa ajili ya mbao, kuna skimming plaster ambayo imeshachanganywa kabisa kumrahisishia fundi....kuna za grills...hammirates....etc
Ninachoweza kusema ni kwamba jamani nyumba ni finnishing pia ,...maana tumekuwa tukikazana sana kwenye ujenzi kusimamisha nyumba... ila inapokuja suala zima la finnishing...tumekua ni waoga wa bei......ila nyumba ukiangalia kwa kweli ni ya gharama....sasa ....ila hili ntakuja kulizungumzia siku yake ingine.....
Hii ndio color chart yetu ambayo ina shades...zaidi ya 3200. yaani hapa huwezi kukosa rangi unayoitaka....iwe dark or light.....na pia uzuri wa dulux....hizi rangi ukishatoa order ni kua huwezi kuichakachua....unachokitaka ndio utakachokipata.....sio mara fundi anaongeza rangi nyeupe ama tonner....hapana...na inaokoa muda wa mafundi kuitumia....na ni rahisi kuitumia......ntaleta somo lake kuhusu hili..
hii ni product ya skimming inatumika ndani na nje......na ni rahisi kuitumia maana imeshachanganywa.....jamani gypsum powder ukutani ni sumu ya rangi......
ni kweli dulux uta save hela yako. lita 1 ya dulux inapaka square meter 10 kwa mpako 1 wa kwanza....na inawahi kufunga ukutani......
Product hii ni kwa wale nyumba zinazosumbuliwa na ukungu....unyevu unyevu......kwenye ukuta....mpaka unakuta rangi haikai...ama kudumu.......kuna lita 1 na lita 5
kuna somo linakuja kuhusu hii picha.........
Hii hapa ni rangi ya grills ......kwenye grills....ni lazima upake vyote 3 ila kila unapopaka ni lazima uipe muda ikauke ndio upake,,,,,lakini sasa hii imechanganywa yote 3 na unapaka kwa maramoja.....na wale wanaokaa ukanda wa chumvi chumvi......chuma hulika....itawafaa sana hiii........
Vannish pia ziko......aina tofauti tofauti.. inapatikana kwa lita 5
Silk ama wash n ware....pia zinapatikana.....inapatikana kwa lita 1 na lita 5
Thursday, February 27, 2014
NEUTRAL UKUTANI NA COLORFUL KWENYE FANICHA NA MAPAMBO.......
Kuna njia moja rahisi sana kwa wale wapendao colorfull kwenye nyumba zao....iko hivi...unapopaka rangi ukutani ambayo ni colorfull halafu ukaja ku mix and match na fanicha na mapambo.....hua inakuja kukuchosha baada ya muda.....na mara nyingi ni kua tunapaka rangi zisizoendana.....
nimeshaona kwenye baadhi ya nyumba zetu utakuta mtu anaweka rangi zaidi ya tano.....na hii huja kumahinda...na kufanya nyumba kuonekana kituko.....jamani kutumia rangi zairi ya tatu.......pls pls......pata ushauri kutoka kwa interior designer.....atakushauri kwa gharamma nafuu ni kukubaliana tuu na nyumba kuonekana nzuri na kuvutia.....hiyo ndio kazi yetu kuumiza vichwa kila siku ili kupendezesha nyumba yako.
nimeweka baadhi ya picha hapa ili muone rangi zinavyokwenda kwa mpangilio....hata kama ni nyingi lakini zinashabihiana...sio moja inamzidi mwingine na kuwaka sana ......
Napenda kutoa picha ili tuweze kuelewana zaidi.....na ukitumia rangi za kuwaka ni lazima utumie na rangi zilizopoa ili kuipunguza makali ile kali.....na kwa ushauri wangu endapo gutaki kutumia designer kwa kudhani kua unakwepa gharama...ama utamfaidisha interior designer. .....basi naomba na ninakupigia magoti.... kua heza na rangi 3 tuuuuuu...na tena ziwe zinaendana sio kupishana....hii itakusaidia nyumba yako kuto onekana kituko na kuchekesha walionuna....sasa basi....paka ukuta wako rangi neutral. ..kama cream, beige, butterscotch, etc....halafu hizo rangi 2 zilizobaki ndio cheza nazo kwenye fanicha na pazia na marembo.....na pia waweza irudia ile ya ukuta kwenye mapambo pia sio mbaya....
picha hizi 2....kuta ni neutral...then colors kaweka kwenye fanicha na mapambo....kiasi kwamba unaweza badilisha muda wowote wakati wowote mapambo na pazia...bila kuugusa ukuta ama kukuumiza kichwa kuubadilisha rangi.....
mfano picha hii ametumia rangi 3....kijani, pink, na nyeupe....na nyumba imependeza.......sasa ule ujuaji wa ma color combo tuuache kwenye nyumba zetu.....na kwa taarifa tuu color combo hua zinapendeza zaidi kwenye nyumba kubwa na zenye mwanga wa kutosha....ambapo kuna madirisha makubwa.....
Wednesday, February 19, 2014
COLOR IDEAS FOR YOUR LIVING ROOM. .....
Inategemea na wewe mwenye nyumba unapenda color gani....kwa mimi mara nyingi humuuliza mteja maswali ambayo hunisaidia kuweza kujua mteja anapenda rangi gani...ama vitu gani...maana wengi wetu wanadhani kua ukumuita interior designer ndio tayari anafanya kila kitu bila kukushirikisha....hapana hua hatuendi hivyo......
Nashauri unapomuita desiger wako kwa ajili ya nyumba yako ama ofisi...jitahidi kutoa detailss zote za nini unapenda...nini hupendi..unataka kuweje ukiingia nyumbani kwako ama ofsini...yote haya yatamsaidia designer kukufanyia kazi yako....
Tu nachokosea ni kutokua wawazi ama kuogopa kuonekana hujui...jamani hakuna mtu kazaliwa anajua....ni kua elimu tumejifunza katika secta mbali mbali.....
Homez deco hua tuna discuss...na kuulizana maswali na kuongea ili kujua nini unataka...kumbuka nyumba hiyo unakaa wewe sasa inabidi ikuwakilishe wewe mwenye nyumba na kukupendezesha...
Design ziko nyingi....kuna traditional, contemporary, etc......sasa unavyomuelezea interior designer. ..ye anajua ni design ipi aende nayo.....na ufurahie nyumba yako. Nitaelezea kila design inakuaje....ili iwe rahisi kwenu wateja kumuelezea designer..
Thursday, December 12, 2013
PANTONE NAMES RADIANT ORCHID 2014 COLOUR OF THE YEAR
Pantone, a global authority on colour, recently picked Radiant Orchid, a purple hue with pink and fuchsia undertones, as the 2014 colour of the year, replacing the 2013 colour, emerald.
In the upcoming year, the purply rose is expected to influence the world of fashion and interior design.
Each year a colour is selected by a secret committee that draws on global influences ranging from popular travel destinations to technology.
Leatrice Eiseman, executive director of the Pantone Color Institute, says next year's colour is an invitation to innovation. Radiant Orchid “encourages expanded creativity and originality, which is increasingly valued in today's society,” she says.
So how can we inject this pinky-purple radiance into our own homes, without our interior looking too much like a child's bedroom? We took some notes from Australia's top colour experts.
Rikki Stubbs is one of Australia's leading colour designers. Stubbs' career in colour and interior design can be traced back to the 1980s. And today, she runs her own colour consultancy, Pure Colour. For Stubbs, colour is the starting point in interior design.
Every surface is a vehicle for colour.
Stubbs says Radiant Orchid is “a beautiful colour, it's a clear bright colour. So that means in interior design it has to be used judiciously in small doses.”
Stubbs says it's best to avoid painting walls in Radiant Orchid. “You want the wall colour to just sit back quietly,” she says, explaining that in interiors, the wall colour is what holds the colour scheme together.
Splashes of Radiant Orchid in a home are best complemented with neutral walls. Stubbs says soft blue greys work well with bright colours like purple. Think Dulux's Dieskau or Covered in Paint's Translucent.But pops of purple do not go amiss elsewhere. “You could paint a chair, or you could have it on one cushion, or better still in a stripe with an orange, and a green and fuchsia... on an outdoor fabric.”
But that doesn't mean you can't pair it with other bright colours.
Sonia Simpfendorfer, creative director for Melbourne-based company Nexus Designs, agrees.“I'd put it with turquoise and aqua and mint green and you could add in a dash of orange because it's the opposite,” Stubbs says.
“These slightly difficult, more challenging colours are always good to use and they're a great foil for colours that people think are beautiful,” she says.
In a nod to the Pantone Fashion Color Report Spring 2014, Simpfendorfer says pairing with Dazzling Blue is a clever way to use Radiant Orchid.
“Use it with colours that are a similar level of intensity and saturation but once again use them in balance rather than making one of them too dominant,” she says.
Simpfendorfer says Radian Orchid can be used as a colour for a side table next to something that's highly patterned and has a small element of purple in it.
“Or if you imagine a rug where there might be that colour in a small amount and then use it as a solid colour on an entire chair but just one in a space... That would be really powerful,” she says.
There's no doubt that people today are experimenting more with colour in general.
Stubbs says colour is now in fashion in interior design. “We have been subjected to really bland, all white interiors where people were terrified to use any colour for years and that is changing, that is the biggest trend that is changing.”
And the choice of Radiant Orchid marks a positive move for the use of colour in interiors. “I really love the fact that it's quite controversial and has made people really stop and think about colour,” Simpfendorfer says.
While it's good to be challenged, Simpfendorfer offers a word of advice for those who aren't tickled pink (or purple, for that matter) by Pantone's colour choice.
“You have to love colour otherwise it'll always sit a bit uncomfortably.”
This photo provided by Pantone shows the Radiant Orchid color swatch for Pantone. Photo: AP
Thursday, December 5, 2013
RANGI KUBANDUKA UKUTANI.....KATIKA NYUMBA ZETU AMA OFISI ZETU...
Mtakubalia nami kua haya ni matatizo tuliyonayo nyumbani kwetu kwa upande wa rangi kubanduka....katika nyumba hii mteja wangu ameniambia kapaka rangi katika nyumba yake mwaka sasa rangi inabanduka nyumba nzima....kama inavyoonekana hapa...yaani ukishika inabaduka kama unachana karatasi.....
Sasa basi ninawakaribisha wote karibuni tutumie products za dulux....kwani ni nzri. Imara na matumizi yake ni kidogo tuu na unapaka mipako 2 na rangi imefunga...rangi hizi zinakupa uwezo wa kukaa nayo miaka 10...kama itatunzwa vizuri na inahimili hali ya hewa yoyote ile....tupende nyumba zetu kwa kupaka tangi nzuri zenye ubora.....na hata itasaidia kuto rudia rudia mara kwa mara........
Karibuni sana homez deco....kwa mahitaji ya rangi na tutakupa muongozo na ushauri pia .......bureeee....
Sasa basi ninawakaribisha wote karibuni tutumie products za dulux....kwani ni nzri. Imara na matumizi yake ni kidogo tuu na unapaka mipako 2 na rangi imefunga...rangi hizi zinakupa uwezo wa kukaa nayo miaka 10...kama itatunzwa vizuri na inahimili hali ya hewa yoyote ile....tupende nyumba zetu kwa kupaka tangi nzuri zenye ubora.....na hata itasaidia kuto rudia rudia mara kwa mara........
Karibuni sana homez deco....kwa mahitaji ya rangi na tutakupa muongozo na ushauri pia .......bureeee....
Subscribe to:
Posts (Atom)





















.jpg)




















.jpg)





