Kitchen Design

Wednesday, September 9, 2009

Chati ya rangi Na jinsi ya kuzipangilia (ukutani, mapambo etc)

Rangi zilizo mstari wa kwanza ni main colors . Zinazofuata ni za kuchanganyia kwahiyo unachagua nyumba yako iwe na rangi zilizotulia ama za kuchangamka. eg. waweza kuwa na ukuta ukaupaka rangi nyekundu, makochi yako yakawa green, ama kochi lako ni rangi ya njano, ukatupia mito ya papo na kukapendeza. NDIO MAANA NASISITIZA TUSIWE WAOGA WA KUCHEZA NA RANGI. Ukijiamini  unaweza kucheza na rangi.




Makan Sehat Ku at 1:09 AM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Makan Sehat Ku
View my complete profile
Powered by Blogger.