Thursday, November 22, 2012

Sofa Repair.....

Kuna mdau alinitumia swali, kua kama anataka kubadilisha sofa kitambaa inawezekana?

Jibu ni kua, kwanza niione hiyo sofa, na pia inategemea na uchakavu wake. maana kuna zingine zimechakaa mpaka zile mbao za ndai zimevunji. sasa kwa sofa ya aina hiyo hua nina shauri ununue ingine...maana ukarabati wake utakua ni mkubwa, tena karibu sawa na kua sofa mpya....

Naomba ndugu wadau, muwe mnanitumia picha ya sofa zenu ili niweze kuziona kabla ya kutoa jibu....nitumie email sylvianamoyo@yahoo.com

Karibuni sana........

Metal Furniture....

 Furniture zikiwa tayari kwenda kwa mteja.....
 Poziiii.........................
Nikiwa nimepozi kwenye kazi yangu......Kwa kweli hua ninaona raha sana pale ambapo nimefanya kazi na imetoka safi na nzuri....Nimeweka rangi hizi tunaziita neutral colors, mteja wangu anapenda rangi hizi......

Hapa ni wakati kabla hazijaondoka kwenda nyumbani kwa mteja....ziko ofisini kwa nje.......seti ya hii sofa ni ya watu watatu 2 na yawatu wawili 1.......


Naomba ijulikane kua hiki ndicho kipindi cha kujiandaa kutengeneza kwako, ama kujiandaaa kumalizia nyumba yako na kuhamia, ama kupamba nyumba yako......Karibu sana Homez Deco tutakusaidia kwa hili......

Pillows & Pillow cases available at Homez Deco.....(all these products designed and made by homez deco)












 Mito na foronya za watoto zinapatikana pia.....







Animal print foronya pia zinapatikana....hii ndio size ya mito ya sofa ya mapambo

Mito ndio hiii, kila size utapata......ya kulalia, ya makochi, etc......


Mzigo wa X-mass ndio huo unaaanza .......tuna mito na foronya za kila aina......hizo ni baadhi tuuu....

Bei ya mito kwa size hii ni bila foronya zake:

1. 55 by 38 = tshs. 18,000/-mito ya kwenye sofa/makochi, kitandani


2. 45 by 45 = tshs. 15,000/-mito ya kwenye sofa/makochi, kitandani


3. 40 by 40 = tshs. 15,000/-mito ya kwenye sofa/makochi, kitandani

4. 45 by 30 = tshs. 12,000/- mito ya kwenye sofa/makochi, kitandani

5. 88 by 88 = tshs. 45,000/- mito ya chini sakafuni



Bei ya foronya za mito kwa size

 55 by 38 = tshs. 13,000/-

2. 45 by 45 = tshs. 12,000/-

3. 40 by 40 = tshs. 12,000/-

4. 45 by 30 = tshs. 10,000/-

5. 88 by 88 = tshs. 15,000/-


Kwa sababu muda ni mdogo mno mpaka sikukuu......Homez Deco tunayo furaha kukuarifu kua,  tutafanya delivery....na utalipia 10,000/- kokote uliko......utapata mzigo wako ukiwa salama......kwa upande wa malipo tunapokea tigo pesa, m-pesa kwa namba ifuatayo 0713 - 920565.....muda ni mchache mno ....karibuni sana.....